1 Wafalme 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya nyakati za wafalme wa Yuda? 2 Mambo ya Nyakati 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na yale mambo mengine ya Uzia,+ ya kwanza na ya mwisho, Isaya+ mwana wa Amozi+ nabii ameyaandika.
29 Na mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya nyakati za wafalme wa Yuda?