Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Na mambo mengine ya Sulemani na yote aliyofanya na hekima yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya Sulemani?

  • 1 Wafalme 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na mambo mengine yote ya Asa na uwezo wake wote na yote aliyoyafanya na majiji aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? Ila tu kwamba wakati wa kuzeeka+ kwake miguu yake ikawa na ugonjwa.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa ameanza kuhesabu, lakini hakumaliza;+ na kwa sababu hiyo kukawa na ghadhabu+ juu ya Israeli, na hesabu hiyo haikuwekwa katika hesabu ya mambo ya siku za Mfalme Daudi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na mambo ya Rehoboamu, ya kwanza na ya mwisho,+ je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Shemaya+ nabii na Ido+ mwonaji kulingana na maandikisho ya kiukoo? Na kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu+ na Yeroboamu+ wakati wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki