12 Na Asa, katika mwaka wa 39 wa utawala wake, akapata ugonjwa katika miguu yake mpaka akawa mgonjwa sana;+ na hata katika ugonjwa wake hakumtafuta Yehova+ bali waponyaji.+
12Mkumbuke, sasa, Muumba wako Mkuu katika siku za ujana wako,+ kabla siku zenye msiba hazijaja,+ au miaka iwe imefika wakati utasema:+ “Sipendezwi nayo”;+