Kumbukumbu la Torati 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+ 2 Wafalme 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati huo, Hezekia akamwambia Isaya: “Kuna ishara+ gani kwamba Yehova ataniponya nami hakika nitapanda siku ya tatu kwenda katika nyumba ya Yehova?” Zaburi 103:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+Anayeponya magonjwa yako yote,+
39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+
8 Wakati huo, Hezekia akamwambia Isaya: “Kuna ishara+ gani kwamba Yehova ataniponya nami hakika nitapanda siku ya tatu kwenda katika nyumba ya Yehova?”