Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 71:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,+

      Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako za ajabu.+

  • Zaburi 110:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+

      Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,

      Una kundi lako la vijana kama matone ya

      umande.+

  • Zaburi 148:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Enyi vijana,+ nanyi mabikira pia,+

      Enyi wazee+ pamoja na wavulana.+

  • Luka 2:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Lakini akawaambia: “Kwa nini mlilazimika kunitafuta? Je, hamkujua kwamba ni lazima niwe katika nyumba ya Baba yangu?”+

  • 2 Timotheo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki