Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova, nimependa makao ya nyumba yako+

      Na mahali ambapo utukufu wako hukaa.+

  • Zaburi 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—

      Ndilo nitakalolitafuta,+

      Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+

      Ili kuuona uzuri wa Yehova+

      Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+

  • Methali 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa matendo yake, mvulana hujitambulisha kama utendaji wake ni safi na mnyoofu.+

  • Yohana 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa: “Ondoeni vitu hivi kutoka hapa! Acheni kuifanya nyumba+ ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki