Zaburi 45:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Atapelekwa kwa mfalme akiwa na mavazi yaliyofumwa.+Mabikira katika msafara wake ambao ni rafiki zake wanaingizwa ndani kwako.+ Matendo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu huyu alikuwa na binti wanne, mabikira, waliotoa unabii.+
14 Atapelekwa kwa mfalme akiwa na mavazi yaliyofumwa.+Mabikira katika msafara wake ambao ni rafiki zake wanaingizwa ndani kwako.+