7 Nimewaapisha ninyi,+ enyi binti za Yerusalemu, kwa swala-jike+ au kwa paa+ wa porini, kwamba msijaribu kuamsha au kuwasha upendo ndani yangu mpaka wenyewe utake.+
9 “Jinsi gani mpenzi wako ni bora kuliko mpenzi mwingine yeyote,+ ewe uliye mrembo zaidi kati ya wanawake?+ Jinsi gani mpenzi wako ni bora kuliko mpenzi mwingine yeyote, hata ukatuapisha kwa kiapo cha namna hii?”+