Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Kisha itakuwa kwamba nitaimimina roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili,+ na wana wenu na binti+ zenu watatoa unabii. Nao wazee wenu wataota ndoto. Nao wanaume wenu vijana wataona maono.

  • Matendo 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘ “Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili, nao wana wenu na binti zenu watatoa unabii nao wanaume wenu vijana wataona maono na wazee wenu wataota ndoto;+

  • 1 Wakorintho 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 lakini kila mwanamke ambaye husali au kutoa unabii+ kichwa chake kikiwa hakijafunikwa hukiaibisha kichwa chake,+ kwa maana ni kana kwamba yeye ni mwanamke mwenye kichwa kilichonyolewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki