Yeremia 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+ 1 Wakorintho 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu, ni utukufu+ kwake? Kwa sababu yeye amepewa nywele zake ziwe badala ya vazi la kichwani.+
29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+
15 lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu, ni utukufu+ kwake? Kwa sababu yeye amepewa nywele zake ziwe badala ya vazi la kichwani.+