Yoeli 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Kisha itakuwa kwamba nitaimimina roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili,+ na wana wenu na binti+ zenu watatoa unabii. Nao wazee wenu wataota ndoto. Nao wanaume wenu vijana wataona maono. Matendo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu huyu alikuwa na binti wanne, mabikira, waliotoa unabii.+
28 “Kisha itakuwa kwamba nitaimimina roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili,+ na wana wenu na binti+ zenu watatoa unabii. Nao wazee wenu wataota ndoto. Nao wanaume wenu vijana wataona maono.