2 Wafalme 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ akaifuatilia dhambi ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati, aliyosababisha Israeli kutenda dhambi.+ Hakugeuka aiache. 2 Wafalme 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova. Hakuacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+
2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ akaifuatilia dhambi ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati, aliyosababisha Israeli kutenda dhambi.+ Hakugeuka aiache.
24 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova. Hakuacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+