Hesabu 35:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na ikiwa alikuwa akimsukuma+ kwa sababu ya chuki au ikiwa amemvizia+ na kumtupia kitu ili afe, Kumbukumbu la Torati 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Lakini ikiwa kutakuwako mtu anayemchukia+ mwenzake, naye amemvizia, akainuka juu yake, akaipiga nafsi yake na kuiua naye amekufa,+ na mtu huyo amekimbilia moja la majiji hayo,
11 “Lakini ikiwa kutakuwako mtu anayemchukia+ mwenzake, naye amemvizia, akainuka juu yake, akaipiga nafsi yake na kuiua naye amekufa,+ na mtu huyo amekimbilia moja la majiji hayo,