Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na ikiwa mtu atawaka hasira juu ya mwenzake kufikia hatua ya kumuua kwa kutumia hila,+ utamwondoa hata kwenye madhabahu yangu akafe.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Lakini ikiwa kutakuwako mtu anayemchukia+ mwenzake, naye amemvizia, akainuka juu yake, akaipiga nafsi yake na kuiua naye amekufa,+ na mtu huyo amekimbilia moja la majiji hayo,

  • Zaburi 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yeye huketi akivizia makao;

      Kutoka mafichoni atamuua mtu asiye na hatia.+

      ע [ʽAʹyin]

      Macho yake yanamtafuta mtu mwenye taabu.+

  • Methali 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi wao wenyewe huwavizia ili kumwaga damu yao;+ hujificha ili wazishambulie nafsi zao.+

  • Marko 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini Herodia alikuwa na kinyongo+ moyoni kumwelekea na alikuwa akitaka kumuua, lakini hakuweza.+

  • Matendo 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Zaidi ya mambo yote, usiwaache wakushawishi, kwa maana wanaume wao zaidi ya 40 wanamvizia,+ nao wamejifunga wenyewe kwa laana kutokula wala kunywa mpaka wawe wamemuua;+ nao sasa wako tayari, wakingojea ahadi kutoka kwako.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki