1 Wafalme 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mwishowe Rehoboamu akalala pamoja na mababu zake, akazikwa na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama, Mwamoni.+ Na Abiyamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
31 Mwishowe Rehoboamu akalala pamoja na mababu zake, akazikwa na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama, Mwamoni.+ Na Abiyamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.