2 Wafalme 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo Menahemu alikusanya fedha hizo kwa kuwatoza ushuru wanaume mashuhuri na matajiri wa Israeli.+ Akampa mfalme wa Ashuru shekeli 50 za fedha* kwa kila mwanamume. Kisha mfalme wa Ashuru akarudi, hakukaa nchini.
20 Kwa hiyo Menahemu alikusanya fedha hizo kwa kuwatoza ushuru wanaume mashuhuri na matajiri wa Israeli.+ Akampa mfalme wa Ashuru shekeli 50 za fedha* kwa kila mwanamume. Kisha mfalme wa Ashuru akarudi, hakukaa nchini.