2 Wafalme 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria,+ wakati huo akiwa na umri wa miaka kumi na sita,+ nao wakamfanya kuwa mfalme mahali pa Amazia+ baba yake. 2 Mambo ya Nyakati 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uzia+ alianza kutawala akiwa na umri wa miaka 16, naye akatawala miaka 52 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Yekolia+ wa Yerusalemu. Mathayo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Asa akamzaa Yehoshafati;+Yehoshafati akamzaa Yehoramu;+Yehoramu akamzaa Uzia;
21 Ndipo watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria,+ wakati huo akiwa na umri wa miaka kumi na sita,+ nao wakamfanya kuwa mfalme mahali pa Amazia+ baba yake.
3 Uzia+ alianza kutawala akiwa na umri wa miaka 16, naye akatawala miaka 52 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Yekolia+ wa Yerusalemu.