Mambo ya Walawi 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Naye mwanamke ambaye mwanamume atalala naye na kutokwa na shahawa, wataoga katika maji na kuwa wasio safi+ mpaka jioni. Kumbukumbu la Torati 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ikiwa kati yako kutakuwa na mwanamume ambaye haendelei kuwa safi, kwa sababu ya uchafuzi ambao hutukia usiku,+ atatoka nje ya kambi. Hataingia katikati ya kambi.+
18 “‘Naye mwanamke ambaye mwanamume atalala naye na kutokwa na shahawa, wataoga katika maji na kuwa wasio safi+ mpaka jioni.
10 Ikiwa kati yako kutakuwa na mwanamume ambaye haendelei kuwa safi, kwa sababu ya uchafuzi ambao hutukia usiku,+ atatoka nje ya kambi. Hataingia katikati ya kambi.+