Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Na usimtendee vibaya mkaaji mgeni wala kumkandamiza,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+

  • Yeremia 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana ikiwa hakika mtazifanya njia zenu na matendo yenu kuwa mema, ikiwa hakika mtatenda haki kati ya mtu na mwenzake,+

  • Zekaria 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Fanyeni hukumu kwa haki ya kweli;+ na mtendeane kwa fadhili zenye upendo+ na rehema;+

  • Malaki 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nami nitawakaribia ninyi ili kuhukumu,+ nami nitakuwa shahidi wa haraka+ juu ya walozi,+ na juu ya wazinzi,+ na juu ya wale wanaoapa kwa uwongo,+ na juu ya wale wanaoupunja mshahara wa mfanyakazi,+ na mjane+ na mvulana asiye na baba,+ na wale wanaomfukuza mkaaji mgeni,+ wala hawakuniogopa mimi,”+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki