Mambo ya Walawi 19:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni anakaa pamoja nawe akiwa mgeni katika nchi yenu, msimtendee vibaya.+ Mambo ya Walawi 25:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe. Zekaria 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala msimpunje mjane+ yeyote na mvulana yeyote asiye na baba,+ wala mkaaji mgeni+ au mwenye kuteseka,+ wala msipangiane jambo lolote baya mioyoni mwenu.’+
35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.
10 wala msimpunje mjane+ yeyote na mvulana yeyote asiye na baba,+ wala mkaaji mgeni+ au mwenye kuteseka,+ wala msipangiane jambo lolote baya mioyoni mwenu.’+