Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ikiwa mwanamume ataweka nadhiri+ kwa Yehova au ikiwa ataapa kiapo+ ili kufunga nadhiri ya kujiepusha+ juu ya nafsi yake, hapaswi kulivunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake.+

  • Zaburi 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+

      Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+

      Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+

  • Methali 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ni mtego wakati mtu wa udongo amepaaza sauti kwa haraka, “Ni kitakatifu!”+ na baada ya kuweka nadhiri+ ndipo anaelekea kufanya uchunguzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki