1 Samweli 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Walioshiba lazima wajikodishe kwa ajili ya mkate,+Lakini wenye njaa hakika hawapati njaa tena.+ Hata aliye tasa amezaa saba,+Lakini yeye aliyekuwa na wana wengi amedhoofika.+ Zaburi 68:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu anawafanya wapweke wakae katika nyumba;+Anawafanikisha kabisa wafungwa.+Hata hivyo, walio wakaidi, lazima wakae katika nchi iliyokauka.+
5 Walioshiba lazima wajikodishe kwa ajili ya mkate,+Lakini wenye njaa hakika hawapati njaa tena.+ Hata aliye tasa amezaa saba,+Lakini yeye aliyekuwa na wana wengi amedhoofika.+
6 Mungu anawafanya wapweke wakae katika nyumba;+Anawafanikisha kabisa wafungwa.+Hata hivyo, walio wakaidi, lazima wakae katika nchi iliyokauka.+