2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+
16 Basi na tukikaribie,+ tukiwa na uhuru wa kusema,+ kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa, ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa kuwa msaada kwa wakati unaofaa.+