13 Basi hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli naye akawafanya watange-tange nyikani miaka 40,+ mpaka kizazi chote kilichokuwa kikifanya uovu machoni pa Yehova kikafikia mwisho wake.+
10 Basi sasa, tazama, Yehova amenihifadhi hai,+ kama vile alivyoahidi,+ hii miaka 45 tangu Yehova alipotoa ahadi hii kwa Musa, Israeli walipotembea nyikani.+ Na sasa, tazama, leo nina umri wa miaka 85.