64 Lakini kati ya hao hakukuwa na mtu kati ya wale walioandikishwa na Musa na Haruni kuhani wakati ambapo waliwaandikisha wana wa Israeli katika nyika ya Sinai.+
14 Na siku tulizotembea kutoka Kadesh-barnea mpaka tulipovuka bonde la mto la Zeredi zilikuwa miaka 38, mpaka kizazi chote cha wanaume wa vita kilipokuwa kimefikia mwisho wake kutoka katika kambi, kama vile Yehova alivyokuwa amewaapia.+