Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 26:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Lakini kati ya hao hakukuwa na mtu kati ya wale walioandikishwa na Musa na Haruni kuhani wakati ambapo waliwaandikisha wana wa Israeli katika nyika ya Sinai.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na siku tulizotembea kutoka Kadesh-barnea mpaka tulipovuka bonde la mto la Zeredi zilikuwa miaka 38, mpaka kizazi chote cha wanaume wa vita kilipokuwa kimefikia mwisho wake kutoka katika kambi, kama vile Yehova alivyokuwa amewaapia.+

  • 1 Wakorintho 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani.

  • Waebrania 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, haikuwa na wale waliotenda dhambi, ambao mizoga yao ilianguka nyikani?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki