Kutoka 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wana wa Israeli walipokiona, wakaanza kusemezana: “Ni nini hiki?” Kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Basi Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa ninyi uwe chakula.+ Hesabu 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini sasa nafsi yetu imekauka. Macho yetu hayaoni chochote isipokuwa mana.”+ Zaburi 78:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akaendelea kuwanyeshea mana ili wale,+Naye akawapa nafaka ya mbinguni.+
15 Wana wa Israeli walipokiona, wakaanza kusemezana: “Ni nini hiki?” Kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Basi Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa ninyi uwe chakula.+