Kutoka 16:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao wana wa Israeli wakala mana miaka 40,+ mpaka walipofika katika nchi inayokaliwa.+ Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa nchi ya Kanaani.+ Hesabu 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao watu wakaendelea kusema dhidi ya Mungu+ na Musa:+ “Kwa nini mmetutoa Misri ili tufe nyikani?+ Kwa maana hakuna mkate wala maji,+ nayo nafsi yetu imeuchukia huu mkate wa kudharaulika.”+
35 Nao wana wa Israeli wakala mana miaka 40,+ mpaka walipofika katika nchi inayokaliwa.+ Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa nchi ya Kanaani.+
5 Nao watu wakaendelea kusema dhidi ya Mungu+ na Musa:+ “Kwa nini mmetutoa Misri ili tufe nyikani?+ Kwa maana hakuna mkate wala maji,+ nayo nafsi yetu imeuchukia huu mkate wa kudharaulika.”+