Hesabu 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na kwa nini mmetuongoza kutoka Misri na kutuleta katika mahali hapa pabaya?+ Si mahali pa mbegu na tini na mizabibu na makomamanga,+ wala hapana maji ya kunywa.”
5 Na kwa nini mmetuongoza kutoka Misri na kutuleta katika mahali hapa pabaya?+ Si mahali pa mbegu na tini na mizabibu na makomamanga,+ wala hapana maji ya kunywa.”