14 Kama ilivyo, hujatuleta katika nchi inayotiririka maziwa na asali,+ upate kutupa urithi wa shamba na shamba la mizabibu. Je, macho ya watu hawa ndiyo unayotaka kutoboa? Sisi hatutakuja!”
15 aliyekutembeza katika ile nyika kubwa na yenye kuogopesha,+ iliyo na nyoka wenye sumu+ na nge na nchi kame ambayo haina maji; ambaye alikutolea maji katika jiwe gumu;+