Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kama ilivyo, hujatuleta katika nchi inayotiririka maziwa na asali,+ upate kutupa urithi wa shamba na shamba la mizabibu. Je, macho ya watu hawa ndiyo unayotaka kutoboa? Sisi hatutakuja!”

  • Kumbukumbu la Torati 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 aliyekutembeza katika ile nyika kubwa na yenye kuogopesha,+ iliyo na nyoka wenye sumu+ na nge na nchi kame ambayo haina maji; ambaye alikutolea maji katika jiwe gumu;+

  • Nehemia 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kwa miaka 40+ ukawapa chakula nyikani. Hawakukosa chochote.+ Mavazi yao hayakuchakaa,+ wala miguu yao haikuvimba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki