8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+
24 Ndipo nikawaambia ninyi:+ “Ninyi mtaimiliki nchi yao, nami nitawapa ninyi ili mwimiliki, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatenga kutoka kwa vikundi vya watu.”+