17 Na kwa hiyo nasema, Nitawatoa katika mateso+ ya Wamisri na kuwapeleka mpaka nchi ya Wakanaani na Wahiti na Waamori+ na Waperizi na Wahivi na Wayebusi,+ mpaka nchi inayotiririka maziwa na asali.”’+
8 Nami hakika nitawaingiza katika nchi ambayo niliuinua mkono wangu katika kiapo+ kwamba nitampa Abrahamu, Isaka na Yakobo; nami kwa kweli nitawapa ninyi iwe mali yenu.+ Mimi ni Yehova.’”+