Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+

  • Mwanzo 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kaa ukiwa mgeni katika nchi hii,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe na kukubariki, kwa sababu nitakupa wewe na uzao wako nchi zote hizi,+ nami nitaitimiza ahadi yenye kiapo ambayo nilimwapia Abrahamu baba yako,+

  • Mwanzo 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nayo nchi+ ambayo nimewapa Abrahamu na Isaka, nitakupa wewe, na uzao+ wako baada yako.”

  • Kutoka 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakumbuke Abrahamu, Isaka na Israeli watumishi wako, uliowaapia kwa jina lako mwenyewe,+ kwa kuwa uliwaambia, ‘nitauzidisha uzao wenu kama nyota za mbinguni,+ nayo nchi hii yote ambayo nimeichagua, nitaupa uzao+ wenu, ili kwa kweli wapate kuimiliki mpaka wakati usio na kipimo.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki