Mwanzo 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+ Kumbukumbu la Torati 34:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Yehova akamwambia: “Hii ndiyo nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+ Nimekufanya uione kwa macho yako mwenyewe, kwa maana wewe hutavuka kuingia huko.”+
18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+
4 Na Yehova akamwambia: “Hii ndiyo nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+ Nimekufanya uione kwa macho yako mwenyewe, kwa maana wewe hutavuka kuingia huko.”+