11 Nao wakamwambia Musa: “Je, ni kwa sababu hakuna makaburi yoyote huko Misri ndiyo sababu umetuleta hapa ili tufie nyikani?+ Ni nini hiki ambacho umetutendea kwa kutuongoza kutoka Misri?
13 Je, ni jambo dogo sana kwamba umetuleta kutoka katika nchi inayotiririka maziwa na asali ili kutuua nyikani,+ hivi kwamba ujaribu pia kujifanya mkuu juu yetu kabisa?+