Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wana wa Israeli wakawa wakiwaambia: “Laiti tungekufa+ kwa mkono wa Yehova katika nchi ya Misri tulipokuwa tukiketi kando ya vyungu vya nyama,+ tulipokuwa tukila mkate na kushiba, kwa sababu ninyi mmetutoa na kutuleta nyikani ili kuliua kutaniko lote kwa njaa.”+

  • Kutoka 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na watu wakaendelea kuwa na kiu ya maji wakiwa huko, na watu wakaendelea kunung’unika juu ya Musa na kusema: “Kwa nini umetutoa Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”+

  • Hesabu 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wana wote wa Israeli wakaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusanyiko lote likaanza kusema dhidi yao: “Laiti tungalikufa katika nchi ya Misri, au laiti tungalikufa katika nyika hii!

  • Zaburi 106:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mababu zetu huko Misri,

      Hawakuonyesha ufahamu wowote katika kazi zako za ajabu.+

      Hawakukumbuka wingi wa fadhili zako kuu zenye upendo,+

      Bali walijiendesha kwa uasi penye bahari, kando ya Bahari Nyekundu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki