3 Na wana wa Israeli wakawa wakiwaambia: “Laiti tungekufa+ kwa mkono wa Yehova katika nchi ya Misri tulipokuwa tukiketi kando ya vyungu vya nyama,+ tulipokuwa tukila mkate na kushiba, kwa sababu ninyi mmetutoa na kutuleta nyikani ili kuliua kutaniko lote kwa njaa.”+
3 Na watu wakaendelea kuwa na kiu ya maji wakiwa huko, na watu wakaendelea kunung’unika juu ya Musa na kusema: “Kwa nini umetutoa Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”+
2 Na wana wote wa Israeli wakaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusanyiko lote likaanza kusema dhidi yao: “Laiti tungalikufa katika nchi ya Misri, au laiti tungalikufa katika nyika hii!