Zaburi 78:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Hawakuukumbuka mkono wake,+Ile siku ambayo aliwakomboa kutoka kwa mpinzani,+ Isaya 63:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nitazisema fadhili zenye upendo za Yehova,+ sifa za Yehova, kulingana na yote ambayo Yehova ametutendea,+ wema mwingi kwa nyumba ya Israeli+ ambao amewatendea kulingana na rehema+ zake na kulingana na wingi wa fadhili zake zenye upendo.
7 Nitazisema fadhili zenye upendo za Yehova,+ sifa za Yehova, kulingana na yote ambayo Yehova ametutendea,+ wema mwingi kwa nyumba ya Israeli+ ambao amewatendea kulingana na rehema+ zake na kulingana na wingi wa fadhili zake zenye upendo.