Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na watu wakaendelea kuwa na kiu ya maji wakiwa huko, na watu wakaendelea kunung’unika juu ya Musa na kusema: “Kwa nini umetutoa Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”+

  • Hesabu 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, ni jambo dogo sana kwamba umetuleta kutoka katika nchi inayotiririka maziwa na asali ili kutuua nyikani,+ hivi kwamba ujaribu pia kujifanya mkuu juu yetu kabisa?+

  • Kumbukumbu la Torati 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo alikunyenyekeza, akakuacha ukae na njaa,+ akakulisha mana,+ ambayo hukuwa umeijua wala baba zako hawakuwa wameijua; ili kukufanya ujue kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali mwanadamu huishi kwa kila neno la kinywa cha Yehova.+

  • Maombolezo 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wale waliouawa kwa upanga+ wamekuwa bora kuliko wale waliouawa kwa njaa,+

      Kwa sababu hao hudhoofika, wakichomwa kwa sababu ya ukosefu wa mazao ya shambani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki