Kutoka 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+ Kutoka Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 16:15 w99 8/15 25 Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:15 Mnara wa Mlinzi,8/15/1999, uku. 25
15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+