Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+

      Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+

  • Zaburi 68:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+

      Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+

      Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake;

  • Zaburi 150:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kila kitu kinachopumua—na kimsifu Yah.+

      Msifuni Yah!+

  • Isaya 38:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Aliye hai, aliye hai, ndiye anayeweza kukusifu,+

      Kama vile mimi ninavyoweza leo hii.+

      Baba anaweza kuwapa wanawe ujuzi+ kuhusu ukweli wako.

  • Ufunuo 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki