Kutoka 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+ Zaburi 68:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake; Zaburi 150:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kila kitu kinachopumua—na kimsifu Yah.+Msifuni Yah!+ Isaya 38:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Aliye hai, aliye hai, ndiye anayeweza kukusifu,+Kama vile mimi ninavyoweza leo hii.+Baba anaweza kuwapa wanawe ujuzi+ kuhusu ukweli wako. Ufunuo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+
2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+
4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake;
19 Aliye hai, aliye hai, ndiye anayeweza kukusifu,+Kama vile mimi ninavyoweza leo hii.+Baba anaweza kuwapa wanawe ujuzi+ kuhusu ukweli wako.
19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+