Hesabu 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Ikiwa mgeni anayeishi nanyi au mtu mwingine ambaye ameishi pamoja nanyi kwa muda mrefu atatoa pia dhabihu ya kuteketezwa yenye harufu inayompendeza* Yehova, anapaswa kufanya kama mnavyofanya.+
14 “‘Ikiwa mgeni anayeishi nanyi au mtu mwingine ambaye ameishi pamoja nanyi kwa muda mrefu atatoa pia dhabihu ya kuteketezwa yenye harufu inayompendeza* Yehova, anapaswa kufanya kama mnavyofanya.+