Mambo ya Walawi 23:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Hata hivyo, katika siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni siku ya upatanisho.+ Mtafanya mkusanyiko mtakatifu, nanyi mtazitesa nafsi+ zenu na kumtolea Yehova toleo+ linalotolewa kwa njia ya moto. Hesabu 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Na katika siku ya kumi ya mwezi huu mtafanya mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtazitesa nafsi zenu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote.+
27 “Hata hivyo, katika siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni siku ya upatanisho.+ Mtafanya mkusanyiko mtakatifu, nanyi mtazitesa nafsi+ zenu na kumtolea Yehova toleo+ linalotolewa kwa njia ya moto.
7 “‘Na katika siku ya kumi ya mwezi huu mtafanya mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtazitesa nafsi zenu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote.+