29 “Na itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwenu ninyi:+ Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo,+ mtazitesa nafsi zenu,+ nanyi msifanye kazi yoyote,+ iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.
5 Je, kufunga ambako ninachagua kunapasa kuwa hivi, kama siku ya mtu wa udongo kuitesa nafsi yake?+ Kwa kuinamisha kichwa chake kama kitete, na kwamba atandike nguo ya gunia na majivu kuwa kitanda chake?+ Je, hilo ndilo unaloliita kuwa ni kufunga na siku inayokubalika kwa Yehova?+