13 “Jifungeni mshipi, jipigeni vifua,+ ninyi makuhani. Pigeni mayowe, ninyi wahudumu wa madhabahu.+ Ingieni ndani, kaeni usiku kucha mkiwa mmevaa nguo za magunia, ninyi wahudumu wa Mungu wangu; kwa maana nyumba ya Mungu wenu imenyimwa toleo la nafaka+ na toleo la kinywaji.+