Mwanzo 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha. Mwanzo 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Abramu akapita katikati ya nchi mpaka eneo la Shekemu,+ karibu na miti mikubwa ya More;+ wakati huo Mkanaani alikuwa katika nchi hiyo.
19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha.
6 Na Abramu akapita katikati ya nchi mpaka eneo la Shekemu,+ karibu na miti mikubwa ya More;+ wakati huo Mkanaani alikuwa katika nchi hiyo.