2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.
20 Nao hawapaswi kuvinyoa vichwa vyao,+ na nywele za kichwa hawapaswi kuziacha ziwe ndefu. Kwa vyovyote vile wanapaswa wazikate nywele za kichwa chao.+