Mambo ya Walawi 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hawataweka upara juu ya vichwa+ vyao, na ncha ya ndevu zao hawatanyoa,+ na katika mwili wao hawatafanya mkato.+ Kumbukumbu la Torati 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu.+ Msijikatekate+ wala kujitia upara+ kwenye mapaji ya nyuso zenu kwa ajili ya mtu aliyekufa.
5 Hawataweka upara juu ya vichwa+ vyao, na ncha ya ndevu zao hawatanyoa,+ na katika mwili wao hawatafanya mkato.+
14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu.+ Msijikatekate+ wala kujitia upara+ kwenye mapaji ya nyuso zenu kwa ajili ya mtu aliyekufa.