20 na jamii yote iliyochangamana, na wafalme wote wa nchi ya Usi,+ na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti+ na Ashkeloni+ na Gaza+ na Ekroni+ na mabaki ya Ashdodi;+
6 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Gaza,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu walilipeleka uhamishoni kundi zima la wahamishwa+ ili kuwatia mkononi mwa Edomu.+
5 Ashkeloni litaona na kuogopa; Gaza nalo pia litakuwa na maumivu makali sana; Ekroni+ pia, kwa sababu tumaini lake analotazamia+ litaona aibu. Na mfalme ataangamizwa kutoka Gaza, nalo Ashkeloni halitakaliwa na watu.+