17 Basi wakapanda na kuingia Yuda na kuifungua kwa nguvu na kuteka mali zote zilizokuwa katika nyumba ya mfalme+ na pia wanawe na wake zake,+ wala hakuachiwa mwana yeyote ila Yehoahazi,+ mwana wake aliye mdogo zaidi.
18 Nao Wafilisti+ wakavamia majiji ya Shefela+ na Negebu+ katika Yuda na kuteka Beth-shemeshi+ na Aiyaloni+ na Gederothi+ na Soko+ na miji yake ya kandokando na Timna+ na miji yake ya kandokando na Gimzo na miji yake ya kandokando; nao wakaanza kukaa humo.