23 Naye Yehoashi mfalme wa Israeli akamkamata+ Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yehoashi mwana wa Yehoahazi, kule Beth-shemeshi, kisha akamleta Yerusalemu,+ naye akabomoa shimo katika ukuta wa Yerusalemu, kuanzia Lango la Efraimu+ mpaka kwenye Lango la Pembeni,+ urefu wa mikono mia nne.