Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo akarudi Yezreeli+ ili apone yale majeraha waliyokuwa wamemtia kule Rama+ alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.

      Naye Azaria+ mwana wa Yehoramu+ mfalme wa Yuda akashuka ili amwone Yehoramu+ mwana wa Ahabu kule Yezreeli, kwa maana alikuwa mgonjwa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye Yehoashi mfalme wa Israeli akamkamata+ Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yehoashi mwana wa Yehoahazi, kule Beth-shemeshi, kisha akamleta Yerusalemu,+ naye akabomoa shimo katika ukuta wa Yerusalemu, kuanzia Lango la Efraimu+ mpaka kwenye Lango la Pembeni,+ urefu wa mikono mia nne.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki