Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Wafilisti wakalichukua lile sanduku+ la Mungu wa kweli, wakalibeba kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi.+

  • 1 Samweli 31:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na kumhusu yeye, wakaaji wa Yabesh-gileadi+ wakasikia yale ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akatoka kwenda kupigana na Wafilisti,+ akapenya ukuta wa Gathi+ na ukuta wa Yabne+ na ukuta wa Ashdodi,+ kisha akajenga majiji katika eneo la Ashdodi+ na katikati ya Wafilisti.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki