1 Samweli 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi Wafilisti wakalichukua lile sanduku+ la Mungu wa kweli, wakalibeba kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi.+ 1 Samweli 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na kumhusu yeye, wakaaji wa Yabesh-gileadi+ wakasikia yale ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli. 2 Mambo ya Nyakati 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akatoka kwenda kupigana na Wafilisti,+ akapenya ukuta wa Gathi+ na ukuta wa Yabne+ na ukuta wa Ashdodi,+ kisha akajenga majiji katika eneo la Ashdodi+ na katikati ya Wafilisti.
5 Basi Wafilisti wakalichukua lile sanduku+ la Mungu wa kweli, wakalibeba kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi.+
11 Na kumhusu yeye, wakaaji wa Yabesh-gileadi+ wakasikia yale ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli.
6 Naye akatoka kwenda kupigana na Wafilisti,+ akapenya ukuta wa Gathi+ na ukuta wa Yabne+ na ukuta wa Ashdodi,+ kisha akajenga majiji katika eneo la Ashdodi+ na katikati ya Wafilisti.